Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 9 May 2015

WAFUNGWA NA WALINZI 30 WAUAWA KATIKA JELA IRAQ


Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela moja kaskazini mashariki mwa Baghdad.

Duru za polisi zinasema ghasia hizo zilianza katika gereza la Al-Khalis, pale wafungwa walipoanza kupigana.
Walinzi waliingilia kati, lakini walishambuliwa na kuzidiwa nguvu, kabla ya kunyan'ganywa silaha, na wafungwa wakaanza kutoroka.
Lakini duru za eneo hilo zinasema kuwa wafungwa walitoroka baada ya wapiganaji wa Islamic State kushambulia gereza, kujaribu kuwatoa wenzao waliokuwemo .
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment