Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 6 May 2015

LEO NI VITA YA BARCELONA NA BAYERN MUNICH


Bayern Munich
Kocha Pep Guardiola anarejea Nou Camp kuiongoza Bayern Munich dhidi ya timu yake ya zamani Barcelona kwenye Nusu Fainali ya Klabu Bingwa barani Ulaya.

Mara ya mwisho timu hizi kukutana ilikuwa ni mwaka 2013, katika mchezo wa Nusu Fainali ya Mashindano haya, Bayern Munich, waliwachapa Barcelona Jumla ya Bao 7-0 katika Mechi mbili.
Barcelona wameifunga Bayern Munich mara 1 tu katika Mechi 8 zilizopita za Ulaya na kutoka sare 2 na kufungwa 5.
Mechi hii inakutanisha makocha,waliokuwa wachezaji wa zamani wa Barcelona Luis Enrique wa Barcelona na Pep Guardiola kwa upande Bayern Munich.
Mchezo huu utachezwa kwenye dimba la Nou Camp, huko Hispania.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment