Pages

Pages

Pages

Saturday 14 March 2015

UPANDIKIZAJI WA UUME WAFAULU AFRIKA KUSINI



Kundi la madaktari wa upasuaji kutoka Afrika kusini limefanikiwa upandikizaji wa uume wa mwanadamu.

Oparesheni hiyo iliochukua masaa manane ilifanywa mnamo mwezi Disemba katika hospitali ya Tygerberg mjini Cape Town kupitia ushirikiano wa chuo kikuu cha Stellenbosch.
Inadaiwa kuwa jaribio la pili la upasuaji huo kufanywa.
Madaktari wanasema kuwa mgonjwa aliyefanyiwa upandikishaji huo amepona.
Uume wake ulikatwa baada ya matatizo yaliosababishwa na kupashwa tohara.
CREDIT SOURCE: BBC

No comments:

Post a Comment