![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114163803_president_kenyatta_1.jpg)
Serikali ya Kenya imeanzisha mpango kabambe wa kutoa huduma za kuokoa kwa kutumia ndege na magari kwa watumishi wa umma nchini humo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114163803_president_kenyatta_3.jpg)
Huduma hiyo imezinduliwa kwa ushirikiano na shirika la bima ya afya,shirika la msalaba mwekundu na kundi lamadaktari wanaosafiri kwa ndege la AMREF.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114163803_president_kenyatta_6.jpg)
Kenya inakuwa nchi ya pili baada ya Afrika Kusini kutoa huduma ya aina hii.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114163803_president_kenyatta_2.jpg)
Victor Kenani alkuwepo kwenye uzinduzi wa mpango huo ambapo Rais Uhuru Kenyatta alihudhuria
CREDIT: BBC
No comments:
Post a Comment