Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 7 November 2014

UUZAJI MCHANGANYIKO WA TIKETI MWISHO WIKIENDI HII


Uuzaji mchanganyiko wa tiketi za elektroniki kwenye Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) utakoma baada ya mechi mbili za wikiendi hii kati ya Yanga na Mgambo Shooting na Simba na Ruvu Shooting zitakazochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.



Ligi itasimama kupisha mechi ya Kalenda ya FIFA, mashindano ya Chalenji na dirisha dogo la usajili. Baada ya hapo tiketi zote zitauzwa kwa njia ya mtandao, hivyo hakutakuwepo na vibanda vya kuuza tiketi viwanjani.

No comments:

Post a Comment