Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 1 November 2014

POLISI 7 WAUAWA KENYA

Ripoti kutoka Kenya zinaeleza kuwa askari polisi 7 wameuawa katika shambulio lilofanywa na watu wa kabila moja la Jimbo la Turkana, kaskazini mwa nchi.
Askari polisi 17 bado hawajulikani waliko baada ya tukio hilo ambapo polisi waliviziwa na kushambuliwa wakati wa operesheni zao za usalama Ijumaa usiku.

No comments:

Post a Comment