Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 18 November 2014

GAVANA ATANGAZA HALI YA HATARI MISSOURI

Machafuko makubwa yaliyoibuka Missouri
Gavana wa jimbo la Missouri nchini Marekani ametangaza hali ya hatari kabla ya kutolewa uamuzi muhimu kuhusu kumfungulia mashitaka ya jinai au la dhidi ya afisa wa polisi mzungu, ambaye alimuua kwa kumpiga risasi kijana wa Kiafrika ambaye hakuwa na silaha.

Mauaji hayo yaliyotokea katika mji wa Ferguson mwezi Agosti yalisababisha vurugu katika mitaa kwa siku kadha na kuamsha mjadala kuhusu uhusiano kati ya polisi na jamii ya watu weusi nchini Marekani.
Idara ya polisi ya Kaunti ya St. Louis ndiyo wanaosimamia maandamano yoyote. Meya wa St. Louis, Francis. Slay, amezungumzia kuhusu tahadhari wanayochukua.
CREDIT: BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment