Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Tuesday 4 November 2014
BILIONI 2.5/= ZADAIWA KUPANGWA KUTUMIKA KATIKA MKAKATI WA SIRI WA KUSHAWISHI WANANCHI WAPIGE KURA YA 'NDIYO'
Hii imenaswa, kwamba serikali imeweka mkakati madhubuti wa kuinadi Katiba Inayopendekezwa ili watu wapige kura ya 'NDIYO'. Mkakati huo umepanga kutumia Shs. 2.5 bilioni.
No comments:
Post a Comment