Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 18 October 2014

MELI YA MAREKANI YAZUIWA MEXICO

Meli
Meli moja ya Marekani imenyinwa ruhusu ya kutia nanga katika kisiwa cha Mexico cha Cozumel kutokana na hofu kuwa mmoja wa abiria wake huenda ana virusi vya ugonjwa wa ebola.

Meli hiyo kwa jina Carnival Magic iliondoka katika jimbo la Texas ikiwa na mhudumu mmoja wa afya ambaye alikuwa amehudumia sampuli za mgonjwa wa ebola marehemu Thomas Duncan aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa huo.
Afisa mmoja katika bandari ya Mexico alisema kuwa hatua hiyo ilichukuliwa ili kuzuia kusambaa kwa ugonjwa we ebola.
Mhudumu huyo wa afya ambaye amejitenga pamoja na mumewe wakiwa kwenye meli hiyo yuko chini ya uangalizi kwa ameonyesha dalili za ugonjwa huo.
CREDIT: BBC/SWAHILI

No comments:

Post a Comment