Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 5 July 2014

UNAYAKUMBUKA YA MARADONA NA GENTILE MWAKA 1982?, IKIWA IMEPITA MIAKA 32, FERNANDINHO VS RODRIGUEZ WAIRUDIA HISTORIA

article-0-1F65737800000578-529_638x361Mpira uko wapi? Fernandinho akimfanyia kitu mbaya  James Rodriguez kipindi cha kwanza katika mchezo wa leo mjini Fortaleza.
KATIKA fainali za mwaka 1982 njia pekee ya Italia kumzuia Diego Maradona ilikuwa ni kumpa jukumu maalum beki wa kati Claudio Gentile ili ale naye sahani moja mwanzo mwisho. 
Gentile alimfanyia faulo 23 Muargentina huyo namba 10 nchini Hispania na Italia walishinda mabao 2-1, huku wakiwaachia wapinzani wao kazi ya kuifunga Brazil katika mechi inayofuata ili wasonge mbele, kitu walichoshindwa kufanya.
Miaka 32 baadaye, kulikuwa na tukio kama hilo kwenye mechi ya Brazil dhidi ya  Colombia ambayo imepigwa usiku huu mjini Fortaleza na kushuhudia Fernandinho akipewa jukumu la kumbaka James Rodriguez kwa kila nafasi atakayocheza uwanjani.
article-0-1F6572B100000578-984_638x334Hali tete: Rodriguez akiugulia maumivu baada ya kufanyiwa faulo ya kwanza na  Fernandinho, mjini Fortaleza.
Katika dakika ya 14, kiungo huyo wa Manchester City alichuana vikali na Rodriguez katikati ya dimba akijaribu kumpokonya mpira na alimshika nyota huyo wa Monaco.
Kusoma zaidi tukio hili bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment