Pages

Pages

Pages

Saturday 5 July 2014

UJERUMANI MWENDO MDUNDO, YAITANDIKA UFARANSA 1-0 NA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA

article-2680846-1F64430B00000578-12_634x381UJERUMANI imekuwa nchi ya kwanza kufuzu hatua ya nusu fainali katika fainali za mwaka 2014 mwaka huu nchini Brazil baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ufaransa.
Bao hilo pekee la ujerumani limefungwa na beki Mats Hummels. 
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment