Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa maiaka 20-2y5 alikuwa (houseboy) amemkata kichwa mtoto wa shule wa boss wake kisha kupasua kichwa na kuanza kula ubongo. Muda kidogo akakutwa ameukata umme wake nao anaula kwa mujibu wa chanzo kulilichonitumia hii taarifa ni kwamba imetokea huko Marangu Moshi leo mida ya saa 3. Polisi bado inachunguza nini hasa kilisababisha kijana huyo kufikia uamuzi huo. Mungu ailaze roho ya mtoto mahala pema peponi
CHANZO: WANABIDII
No comments:
Post a Comment