Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 9 July 2014

DK. SHEINA FUTARISHA WANANCHI KASKAZINI PEMBA

IMG_5428
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kushoto) akiwakaribisha Mashekhe katika futari  aliyoiandaa kwa Wananchi  waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba huko Viwanja vya Ikulu ya Wete jana.[Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5432
Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakijumuika kwa pamoja katika futari iliyoandaliwa na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,kwa wananchi hao katika viwanja vya Ikulu ya Wete pemba jana. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5436
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (katikati) akijumuika na akinamama   na Viongozi katika Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari aliyowandalia katika ukumbi wa Ikulu ya Wete Pemba jana. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5438
Baadhi ya  akinamama mbali mbali wa  Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiwa katika futari aliyowandalia na Mke wa Rais Mama Mwanamwema Shein,katika ukumbi wa Ikulu ya Wete Pemba jana. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5446
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (aliyesimama) alipokuwa akitoa shukurani pamoja na kuomba dua baada ya kumaliza kufutari wananchi waumini wa Dini ya kiislamu,futari iliyoandaliwa na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,kwa wananchi hao katika viwanja vya Ikulu ya Wete pemba jana. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5451
Wananchi waumini wa Dini ya Kiislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiitikia Dua iliyoombwa na  Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika futari iliyoandaliwa na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, jana katika viwanja vya Ikulu ya Wete ,[Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
IMG_5488
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein (kushoto) akiagana na  akinamama   mbali mbali na Viongozi waliohudhuria katika futari aliyowandalia katika ukumbi wa Ikulu ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana. [Picha na Ramadhan Othman,Pemba.]
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment