Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 20 July 2014

DAVID RUDISHA ASHINDWA KUTAMBA MBIO ZA MONACO


BBC

Rudisha ashindwa kuwika Monaco

 19 Julai, 2014 - Saa 10:24 GMT
David Rudisha akiwaongoza wanariadha wenzake katika mbio za mita 800.
Bingwa wa Olimpiki na anayeshikilia rekodi ya dunia katika mbio za mita 800 David Rudisha hakuweza kurudia alichofanya Glasgow wiki iliyopita katika mbio za mita 800, baada ya kushindwa na Nigel Amos wa Botswana aliyemaliza wa kwanza kwa dakika moja sekunde 42.45.
Rudisha alimaliza katika nafasi ya tano, licha ya kuongoza mbio hizo kwa muda.
Pierre-Ambroise Bosse wa Ufaransa alimaliza wa pili na Ferguson Rotich Cheruiyot akimaliza wa tatu.
Asbel Kiprop aliyesema atajaribu kuvunja rekodi ya Hicham El Gerrouj katika mbio za mita 1500, alishindwa kufanya hivyo na kumaliza nafasi ya pili, baada ya kupitwa na Silas Kiplagat katika mzunguko wa mwisho.
BBCSWAHILI

No comments:

Post a Comment