Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 15 June 2014

WAHOLANZI BADO WANAHANGAIKA KUIGIZA BAO LA KICHWA LA VAN PERSIE, TAZAMA PICHA HAPA!

Persieing: A Holland fan donning her orange colours copies Robin van Persie's flying header

  Shabiki wa Uholanzi akiwa amevalia jezi yake ya rangi ya machungwa akiigiza namna Van Persie alivyofunga bao la kichwa.

 WAKATI Robin van Persie anafunga bao bora la kichwa katika ushindi mkubwa wa mabao 5-1 dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe la dunia, Hispania, hakujua kama amefanya kitu cha ajabu katika mashindano hayo.
Bao hilo la kichwa limekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii hususani Twitter.

Mashabiki wengi wa Uholanzi  wakiwa katika bustani zao kwa mapumziko, wanaigiza namna mshambuliaji huyo wa Manchester United alivyopaa juu na kupiga kichwa na kufunga bao la bora zaidi mpaka sasa.

The Netherlands got their World Cup off to a flying start - literally - by seeing off the world champions so easily

Kidume nacho hichoooo! jamaa akiiga staili ya Van Persie.

Copycat: Someone recreates Van Persie's diving header that saw Holland equalise with Spain
Anakopi: shabiki akijaribu kuigiza staili ya ufungaji ya Van Persie kwenye mechi dhidi ya Hispania.
Kutazama picha zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment