Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday, 20 June 2014

TEMBO WAPATA UNAFUU BAADA YA UGIRIKI NA JAPAN KUTOKA SULUHU, WAKISHINDA MECHI YA MWISHO WANAWEZA KUSONGA MBELE

Off night: Kostas Katsouranis (centre) is dismissed for a second yellow card against Japan
Toka nje: Kostas Katsouranis (katikati) alioneshwa kadi nyekundu baada ya kupata kadi mbili za njano dhidi ya Japan.
 
WAKATI Luis Suarez akiwafanyia kitu mbaya England jana, mchezo mwingine wa kundi C baina ya Japan na Ugiriki ulimalizika kwa suluhu pacha ya bila kufungana.
Kama ilivyokuwa kwa  Uruguay na England, timu hizi mbili ziliingia katika raundi ya pili ya mechi za makundi zikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi za ufunguzi.
Lakini kwa Uruguay mambo yalienda vizuri kufuatia Suarez kufanya kazi nzuri katika mchezo wa jana usiku akifunga mabao 2 katika ushindi wa 2-1.
Matokeo hayo ni mazuri kwa Tembo wa Pwani ya Magharibi mwa Afrika, timu ya taifa ya Ivory Coast, lakini lazima washinde mechi ya mwisho kama wanataka kusonga hatua ya 16.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment