Katibu mkuu wa TUICO taifa Bw. Boniface Y. Nkakatisi alipokuwa anafungua semina hiyo jana katika ukumbi wa New Savoy Hotel uliopo morogoro |
Pichani ni makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina hiyo jana |
Katibu wa TUICO mkoa wa Pwani Bw. Kassim Matewele akitoa hoja katika mkutano huo. |
Katibu msaidizi wa mkoa wa Singida Bi. Halima Malenga akitoa hoja katika semina hiyo. |
Nyuso za furaha, baadhi ya makatibu wasaidizi wa TUICO
wakiwa katika semina hiyo.
|
Katibu wa TUICO kanda ya kaskazini Bw. Hussen Ngowi akitoa hoja katika
semina hiyo iliyoanza jana
|
Kaimu katibu wa TUICO mkoa wa Kinondoni Bw. Kwijula Kajula (kushoto) akitafakari jambo katika semina hiyo |
Pichani ni makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina hiyo jana.
|
No comments:
Post a Comment