Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 22 June 2014

RAIS WA CHUO KIKUU BUGANDO AOKOTWA USIKU HUU AKIWA HAJITAMBUI


Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinaeleza kwamba, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha CUHAS (Bugando) jijini Mwanza, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirikisho la Wanafunzi Vyuo Vikuu Tanzania TAHLISO), Mussa Leonard Mdede, ameokotwa usiku huu akiwa hajitambui na amekimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya vipimo na matibabu.
Inaelezwa kwamba, Mdede alitoweka ghafla Jumatano iliyopita (Juni 18, 2014) majira ya saa 10 jioni na haikufahamika mara moja mahali alikokuwa mpaka usiku huu taarifa za kupatikana kwake zilipotolewa.

Kwa mujibu wa jukwaa la wanabidii, taarifa hizi zimethibitishwa na Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi chuoni hapo, Benjamin Thomas. 

No comments:

Post a Comment