Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 15 June 2014

PABLO ARMERO AWAONGOZA COLOMBIA KUSHANGILIA KIMAAJABU, JE, ITAKUWA STAILI KALI KULIKO ZOTE KOMBE LA DUNIA MWAKA HUU?

Push: Armero points his team-mates towards the touchline to start the dance celebration
 Sukuma: Armero akiwaonesha wachezaji wenzake sehemu ya kwenda kabla ya kuanza kucheza akishangilia bao lake .
LICHA ya kukosekana kwa mshambuliaji wao nyota Radamel Falcao,Colombia wameanza vizuri kombe la dunia baada ya beki wa kulia wa Napoli,  Pablo Armero kuwafungia bao la kuongoza katika dakika ya 5 dhidi ya Ugiriki.
 
Shuti la Armero halikuwa kali kuliko tuliyoyaona siku tatu za ufunguzi, lakini staili yake ya kucheza akishangilia bao lake mbele ya benchi la Colombia ilikuwa nzuri na bora mpaka sasa, labda ndio inaweza kuwa kali zaidi katika mashindano ya mwaka huu.
Kutazama zaidi picha bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment