Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 15 June 2014

AZZURI YAWAKALISHA 2-1 SIMBA WATATU KOMBE LA DUNIA, BALOTELLI KIBOKO…


Mario Baloteli akiifungia bao la pili Italia
TIMU ya Taifa ya England `Simba watatu` imeanza vibaya kombe la dunia baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Italia maarufu kwa jina la Azzuri mjini Manaus  katika mchezo wa kundi D.
Italia walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 35 kupitia kwa Claudio Marchisio, lakini katika dakika ya 37,  Daniel Sturridge aliisawazishia England bao hilo akiunganisha krosi nzuri iliyochongwa na Wayne Rooney kutoka wingi ya kushoto.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment