Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 16 June 2014

MAHINDI BWELELEEE SOKO LA KIBAIGWA, DODOMA

 Naam, mahindi kwa sasa katika soko la kimataifa la Kibaigwa yanapatikana kwa wingi. Ndio wakati wa mmoja kulia na mwingine kufurahia, yaani wakulima wanaweza kuugulia maumivu kwa bei kushuka kutokana na kipindi hiki cha mavuno, lakini kama wafanyabiashara wanajua yaliko masoko mazuri, basi wanaweza kufurahi.
 Malori yakipakia mahindi sokoni tayari kuyasafirisha kwenye masoko mengine.
 Ndiyo hali halisi ilivyo sokoni Kibaigwa.

No comments:

Post a Comment