Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 16 June 2014

LIONEL MESSI AIPAISHA ARGENTINA IKISHINDA 2-1 DHIDI YA BOSNIA KOMBE LA DUNIA

In with a shout: Lionel Messi roars with delight after scoring Argentina's second goal
 Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Argentina bao la pili. 
  LIONEL Messi ameifungia Aregentina bao katika ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bosnia-Herzegovina.

 Beki wa Bosnia, Sead Kolasinac alijifunga bao dakika ya tatu, na katika dakika ya 65, Messi alifunga bao la pili na la ushindi.
Bao la kusawazisha la Bosnia limefungwa na  Vedad Ibisevic katika dakika ya 85
Precise: Messi slides the ball in off the post to give Argentina a 2-0 leadMessi akipiga shuti na kutumbukiza mpira nyavuni.
 Hapa chini ni vikosi vya mechi zote na viwango vya wachezaji. Alama zimetolewa chini ya 10.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment