Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday, 18 June 2014

JOSE MOURINHO AIBUKA NA KUMKANDIA PEPE, ASEMA KWANZA SIO MRENO

Gone! Pepe was sent off by referee Molirad Mazic during Portugal's 4-0 defeat against Germany on Monday
Nenda! Pepe alitolewa nje kwa kadi nyekundu na mwamuzi, Molirad Mazi.
That bodes well: Jose Mourinho couldn't help but be impressed with what he saw from England
 Umechemka! Jose Mourinho amesema Pepe alikosea na anatakiwa kubadilika na kuwajibika.
Ouch! Pepe leaned into Muller after the pair had begun a spat with Portugal already two goals downPepe alimpiga kichwa Muller wakati Ureno wakiwa nyuma kwa mabao 2-0.
BEKI wa kati , Pepe, aliingia katika malumbano makali na mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller na kuambulia kadi nyekundu Ureno ikipoteza mchezo wa kwanza kombe la dunia kwa kipigo cha mabao 4-0.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment