Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 22 June 2014

GHANA YAPIGA MPIRA MKUBWA IKITOKA SARE YA 2-2 NA UJERUMANI

Prolific: Miroslav Klose scores his 15th international goal at World Cups for Germany to make it 2-2
Miroslav Klose amefunga bao lake la  15 akiichezea Ujerumani na kulazimisha sare ya 2-2.
TIMU ya Taifa ya Ghana almanusura iibuke na ushindi dhidi ya Ujerumani, lakini mechi hiyo imemalizika kwa sare ya mabao 2-2.
Ujerumani wakitoka nyuma wamefanikiwa kuvuna pointi moja mbele ya Ghana walioonekana kucheza vizuri kwa dakika zote 90.
High flyer: Miroslav Klose celebrates scoring Germany's second goal against Ghana on Saturday eveningSarakasi juu!  Miroslav Klose akishangilia bao lake.
Can't believe it: Ghana keeper Fatau Dauda shows his anger after Germany score to level the game at 2-2Haamini: Mlinda mlango wa Ghana ,  Fatau Dauda akiwa na hasira baada ya Ujeruman kusawazisha na matokeo kuwa 2-2
Head boy: Mario Goetze (centre) drifts between two defenders to score the opening goal for GermanyMario Goetze (katikati) akiwapita mabeki wawili wa Ghana na kuifungia Ujerumani bao la kuongoza.

Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment