Upasuaji: Suarez anatakiwa kuimarika kwa haraka kuelekea fainali za kombe la dunia baada ya kupigwa `kisu` goti lake.
LUIS Suarez ana matumaini ya kuwakabili England katika mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti.
Maofisa wa Uruguay wamesema mshambuliaji huyo wa Liverpool alipata majeruhi katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu soka nchini England dhidi ya Newcastle.
Nyota huyo mwenye miaka 27 alilitetemesha taifa lake baada ya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji.
Maofisa wa Uruguay wamesema mshambuliaji huyo wa Liverpool alipata majeruhi katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu soka nchini England dhidi ya Newcastle.
Nyota huyo mwenye miaka 27 alilitetemesha taifa lake baada ya kukimbizwa hospitali kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL
SHANGWE
No comments:
Post a Comment