RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA MEWATA IKULU DSM
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chama Cha Madaktari Wanawake Tanzania(MEWATA) baada ya kukutana na kufanya nao mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro).
No comments:
Post a Comment