Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 25 May 2014

NGOMA DAKIKA 120, REAL MADRID YAICHAPA ATLETICO MADRID 4-1 NA KUTWAA `DEBE` LA 10 LA UEFA, BALE NI KIBOKO, APIGA BAO MUHIMU MNO..

Uplifting: Ronaldo gets his hands on the trophy in Lisbon after Real's extra time victory
 Ronaldo akinyanyua kombe mjini  Lisbon baada ya  Real kushinda dakika za nyongeza
Dream duo: The £166m partnership of Ronaldo and Bale enjoy Real's victory at the Stadium of Light
 Ronaldo na Bale  wakifurahia ushindi wa Real Madrid
Landmark: Real Madrid's players celebrate their 10th European Cup triumph
Wachezaji wa  Real Madrid wakishangilia ubingwa wao wa 10
HATIMAYE Gareth Bale ameisaidia Real Madrid kutumiza ndoto za `La Decima` baada ya kutwaa ndoo ya 10 ya UEFA kufuatia ushindi wa dakika za nyongeza katika mchezo wa fainali dhidi ya majirani zao Atletico Madrid.
Bale alizaliwa Wales, alikulia Southampton na kung`ara Tottenham, nyota huyo mwenye miaka 24 ameendelea kuonesha kuwa Real Madrid hawakukosea kumsajili kwa rekodi ya dunia baada ya kufunga bao ambalo limeandikwa katika historia ya klabu.
Kusoma zaidi na kuona picha bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment