MANCHESTER United amekubaliana dili la kumsajili kiungo wa Bayern Munich, Toni Kroos na sasa wanajipanga kuiwinda saidi ya mchezaji mwenzake, Mholanzi Arjen Robben.
Kross alikubaliana na ofa ya paundi milioni 20 na aliyekuwa kocha wa Manchester United, David Moyes na mrithi wake ambaye aliyewahi kuwa kocha wa Bayern Munich, Louis Van Gaal amebariki dili hilo kuendelea.
Kroos, 24, aling`ara wakati wa utawala wa Van Gaal katika klabu ya Bayern na bado anahitaji kufanya kazi na kocha wake wa zamani.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL
SHANGWE
No comments:
Post a Comment