Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 24 May 2014

HIVYO NDIVYO UGOMVI WA WAKULIMA NA WAFUGAJI UNAVYOANZA

 
Mara nyingi ugomvi baina ya wakulima na wafugaji huanza namna hii kama ng'ombe hawa wanavyoonekana wakilishwa pembezoni mwa shamba la mpunga uliokomaa huku wachungaji wakiangalia.
Nimewakuta leo hii huko Pawaga wakiwa hawana wasiwasi kabisa huku malisho mengine yakionekana wazi yenye majani ya kutosha.
Kumbe, ugomvi huu unaepukika busara zikitumiwa.


No comments:

Post a Comment