BRENDAN RODGERS AKIMBIZA ENGLAND, ANYAKUA TUZO YA KOCHA BORA WA MWAKA YA LMA
KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka ya LMA baada ya kufanya kazi nzuri msimu huu na kuwa kocha wa kwanza wa majogoo wa jiji kutwaa tuzo hiyo.
Bosi huyo wa Liverpool amefurahia msimu wake Anfield kwa kuiongoza klabu hiyo kumaliza katika nafasi ya pili, huku akipambana mpaka mechi ya mwisho na kupigwa bao na Manchester City waliofanikiwa kutwaa `ndoo`.
No comments:
Post a Comment