Na Baraka Mpenja wa fullshangwe, Dar es salaam
HATIMAYE safari ya Mbeya City fc kwenda kushiriki michuano mipya ya CECAFA Nile Basin Cup nchini Sudan imekamilika baada ya kutumiwa tiketi za ndege.
Kocha msaidizi wa klabu hiyo Maka Mwalyisyi amezungumza na mtandao huu dakika chache zilizopita na kueleza kuwa wamepokea tiketi na wanaanza safari alfajiri ya kuamkia kesho na wanatarajia kufika Sudan kesho ijumaa majira ya saa 11:00 asubuhi kwa saa za huko.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL
SHANGWE
No comments:
Post a Comment