Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 8 September 2016

TASWE SACCOS INAZIDI KUKULETEA FURSA





TASWE inapenda kuwakaribisha katika halfa ya chakula cha jioni tarehe 10/09/2016 saa 11 jioni ukumbi wa Cardinal Rugambwa. Madhumuni ni kusherehekea mafanikio yetu waalikwa zaidi ya 300 watakuwepo pamoja na Balozi mbalimbali, makampuni alikadhalika na banks. Mgeni rasmi katika shughuli hii ni Dr. Reginald Mengi. Meza za biashara zitakuwepo ili uweze kuonyesha na kuuza biashara yako na fursa nyingine kibao.
Tiketi zinapatikana kwenye ofisi  za TASWE zilizopo oysterbay au piga namba 0655 629 400
Wahi sasa jipatie tiketi yako!!!!!

No comments:

Post a Comment