Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday, 9 November 2014

TAASISI YA STARKEY HEARING FOUNDATION YASAIDIA WASIOWEZA KUSIKIA MJINI MOSHI

unnamed
TAASISI ya Starkey Hearing Foundatioin ikitoa huduma ya kliniki kwa kuwawekea vifaa vya kuongeza usikivu masikioni kwa watu zaidi ya 1000 wenye matatizo ya kusikia katika Mkoa wa Kilimanjaro shughuli iliyoanza jana kwenye viwanja vya Shree Hindu Mandal vilivyopo kando ya barabara ya Mawenzi mjini Moshi . Pichani, mwanzilishi wa taasisi hiyo, Bill Austin na mkewe Tani wamekuwa wakiongoza zoezi hilo toka lilipoanza majira ya saa mbili asubuhimjini Moshi jana.

unnamed1unnamed2ESTHER Urassa ambaye naye ana tatizo la kusikia akipewa huduma hiyo kabla ya kuwasaidia wenzie.
unnamed3unnamed4Lina John ambaye ni kipofu akipima kiwango cha sauti kwenye kidevu chake ili kama mtoto Ronald anaweza kusikia mara baada ya kuwekewa kifaa cha kuongeza usikivu:
CREDIT: FULLSHANGWE BLOG

No comments:

Post a Comment