Pages

Pages

Pages

Saturday, 29 March 2014

JK ATUNUKU TUZO YA RAIS YA MZALISHAJI BORA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washindi walionyakua tuzo mbalimbali wakati wa hafla ya kutunuku Tuzo ya Rais ya  Mzalishaji Bora wa mwaka 2013 iliyofanyika katika Hoteli ya Serena  jijini Dar es Salaam jana ijumaa.
(Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment