Pages

Pages

Pages

Thursday, 13 March 2014

HILI NDILO AGANO LA MUNGU NA MWANADAMU

 
Upinde wa Mvua! Tunaambiwa ndilo Agano ambalo Mungu aliweka na Mwanadamu kupitia kwa Nabii Nuhu baada ya gharika kuu kwamba kamwe hataleta tena gharika juu ya uso wa nchi. Huu ni upendo mkubwa wa Mungu kutupatia ishara hii kila mvua inaponyesha na unaonyesha ukuu wake.

No comments:

Post a Comment