TAIFA KWANZA!

Pages

▼

Pages

▼

Pages

▼

Monday, 10 February 2014

WAFANYABIASHARA IRINGA WAGOMA, KISA MASHINE ZA TRA


Wafanyabiashara wa mjini Iringa wamegoma asubuhi hii wakishinikiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iondoe mashine za EFD kwa madai kwamba wananyonywa na ni wizi mtupu.Maduka karibu yote ya Miyomboni yamefungwa na wafabishara hao wameandamana kuangalia yale ambayo hayajafungwa ili washinikize wenzao wayafunge kwa nguvu.








http://taifakwanza5.blogspot.com/ at Monday, February 10, 2014
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

Contributors

  • Unknown
  • Unknown
  • Unknown
  • http://taifakwanza5.blogspot.com/
Powered by Blogger.