Pages

Pages

Pages

Friday, 21 February 2014

UFUGAJI WA NYUKI HUU, JUHUDI ZA SIDO-DODOMA

 Hiki ni kikundi cha ufugaji nyuki katika Kijiji cha Ilindi, wilaya ya Bahi mkoani Dodoma ambacho kimefaidika na mikopo na elimu ya stadi za ujasiriamali zinazotolewa na Shirika la Viwanda Vidogo nchini (SIDO) mkoani humo. Wengi wamenufaika na mikopo hiyo.
Tukitumia vyema rasilimali zetu, hasa misitu, zinaweza kutuletea tija kubwa.


No comments:

Post a Comment