Pages
(Move to ...)
Home
KILIMO ENDELEVU
KILIMO HAI
CONTACTS US
▼
Pages
(Move to ...)
Home
▼
Pages
(Move to ...)
Home
▼
Monday, 13 January 2014
KCC BINGWA MAPINDUZI CUP
Wachezaji wa KCC, viongozi na mashabiki wao wakishangilia ushindi baada ya kutwaa kombe la Mapinduzi leo.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein naye alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo kati ya Simba na KCC.
Mashabiki wakifuatilia mechi hiyo.
TIMU ya KCC ya Uganda leo imetwaa Kombe la Mapinduzi baada ya kuilaza Simba SC bao 1-0 katika fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan mjini Unguja!
(PICHA NA MUSA MATEJA / GPL)
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment