Pages

Pages

Pages

Monday 5 December 2016

TAARIFA YA VIKAO VYA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Kutakuwa na kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kitakachofanyika tarehe 11 - 12/12/2016 na kufuatiwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa tarehe 13/12/2016. Vikao vyote hivyo vitafanyika jijini Dar es salaam.

Wajumbe wote wa vikao hivyo wanaombwa kuhudhuria.
Imetolewa na:- 
                   
SELEMAN Y. MWENDA
Kny: MSEMAJI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
05.12.2016

No comments:

Post a Comment