Pages

Pages

Pages

Tuesday 2 August 2016

MAZISHI YA JOSEPH SENGA KIJIJINI SHUSHI, KWIMBA


Mwili wa aliyekuwa Mpigapicha Mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima, Marehemu Joseph Senga ukiwekwa kaburini wakati wa maziko yake yaliyofanyika katika Kijiji cha Shushi Wilaya ya Kwimba, Mwanza. (Picha na Said Powa). 

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Mpigapicha Mkuu wa gazeti hili, marehemu Joseph Senga wakati wa mazishi yake yaliyofanyika katika Kijiji cha Shushi Wilaya ya Kwimba, Mwanza. 





No comments:

Post a Comment