Unyayo wangu ni kipindi kipya kabisa kinachokujia kupita Tone Tv,
ambacho kinaletwa kwenu na Mtangazaji wetu Eddie Nyota , kinacholenga
shabaha ya watu waliothubutu kufanya jambo fulani katika jamii na
wanauelewa na jamii husika. Utajifunza mengina kuburudika pia kupitia
kipindi hiki Kinacholenga rika zote.

No comments:
Post a Comment