Pages

Pages

Pages

Tuesday 10 May 2016

RAIS MSTAAFU JK AKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUTOKA MALARIA NO MORE

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya “Malaria No More” Martin Edlund. 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiongea na waandishi wa Habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana kutokomeza ugonjwa wa malaria. 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa Habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani leo jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana kutokomeza ugonjwa wa malaria.

(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment