Pages

Pages

Pages

Friday 8 April 2016

CHRISTINA MUGHWAI LISSU AFARIKI DUNIA

Christina Mughwai Lissu enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka mkoani Singida, Christina Mughwai Lissu (CHADEMA) amefariki dunia leo kwa ugonjwa wa kansa. Alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es Salaam.

Marehemu Christina ni dada wa Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi AMEN

No comments:

Post a Comment