Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 10 March 2016

RADIO MPYA YA WANANZENGO JIJINI MWANZA, KUANZA KURUKA HEWANI RASMI

Imethibitika kuwa Hit Radio Station ijulikanayo kwa jina la LAKE FM ya Jijini Mwanza inatarajia kuanza kuruka hewani rasmi kupitia 102.5 kuanzia wiki ijayo.

Redio mpya ya wananzengo Mkoa wa Mwanza itakua hewani rasmi kuanzia jumatatu wiki ijayo Machi 14, 2016. 
Tunaposema Raha ya rock city unaelewa nini? Follow @lakefm_mwanza kucomment ili tujue mapokeo yako. 
#LakeFM #RahaYaRockCity #RedioYaWananzengo.

No comments:

Post a Comment