Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt.
Augustine Mahiga akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi
zao pamoja na Wawakilishi wa Wadau mbalimbali wa Maendeleo nchini Tanzania wakati
wa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya 2016 leo Ikulu jijini Dar es salaam.
(Picha na Eleuteri
Mangi)
|
No comments:
Post a Comment