Benki ya NMB imetoa vifaa hivyo pamoja na kugharamia sehemu ya gharama za mkutano huo ikiwa kama mdau wa Jeshi la Polisi, ambapo pia katika mkutano wa maofisa hao kwa mwaka jana ilitoa takribani kiasi cha shilingi milioni 75 pamoja na msaada wa pikipiki tano ili kulisaidia jeshi katika kutimiza majukumu yake na kudumisha ushirikiano na kampuni hiyo.


No comments:
Post a Comment