Rais wa Shirikisho la Sanaa za Maonyesho Tanzania
Agnes Lukanga akitoa mada katika warsha ya siku mbili kuhusu wasanii wanawake
kupinga ukatili wa kijinsia, mafunzo hayo yamefanyika ili kuhitimisha siku 16
za kupinga ukatili wa kijinsia na kusheherekea siku ya msanii Tanzania
iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
|
No comments:
Post a Comment