Pages

Pages

Pages

Thursday 10 December 2015

WAFANYAKAZI ZANZILINK WAJJUMUIKA KUFANYA USAFI

Wafanyakazi wa Kampuni ya Zanlink Zanzibar wakiitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Wakishiriki katika zoezi la Usafi wa Mazingira katika sehemu yao ya Kazi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru.  

Mfanyakazi wa Zanlink Zanzibar akishiriki katika Zoezi la Usafi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania Bara imeadhimishwa Kitaifa kwa Usafi wa mazingira.
Imetayarishwa na Othman Mapara.Blogspot 
Zanzinews.com 

No comments:

Post a Comment