Pages

Pages

Pages

Friday 30 October 2015

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA NA EZEKIEL WENJE BAADA YA MATOKEO NYAMAGANA

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM).
 
 BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema) akiongea na wanahabari muda mfupi kabla ya matokeo kutangazwa usiku wa Kuamkia jana.
Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jijini Mwanza ambae pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Jiji hilo Titho Mahinya akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu Jimboni Nyamagana.

No comments:

Post a Comment