Pages

Pages

Pages

Monday 5 October 2015

CHIPUKIZI WA LEO: ORGAN TAI KUTOKA JIJINI MWANZA.

Msanii Organ Tai kutoka Jijini Mwanza.
Na:George Binagi-GB Pazzo
BMG (Binagi Media Group) Chipukizi wa Leo ni kipengere kinachoibua wasanii chipukizi kutoka pande mbalimbali za Tanzania na kukufikishia popote pale ulipo na kupata fursa ya kuwafahamu Mastaa wajao hapa nchini.
Msanii Organ Tai anatamba kwa sasa na ngoma yake iitwayo Haina Noma so ISIKILIZE NA KUIDOWNLOAD NGOMA HIYO HAPA CHINI.
Kumbuka haina Noma ni ngoma ya kwanza kutoka kwa Organ Tai ambae anatokea Jijini Mwanza. Kwa Mawasiliano zaidi Mcheck jamaa kupitia namba 0756 78 59 15 AU 0673 91 20 35 kwa ushauri na masuala mbalimbali ya kikazi zaidi.

No comments:

Post a Comment